KAMA ambavyo Jahazi Modern Taarab haijawahi kuharibu ndani ya ukumbi
wa Dar Live, ndiyo jana historia ilivyoendelea kujirudia.
wa Dar Live, ndiyo jana historia ilivyoendelea kujirudia.
Kundi hilo bora la taarab likapiga bonge la show ndani ya ukumbi huo
mkubwa zaidi wa burudani ulioko Mbagala jijini Dar es Salaam.
mkubwa zaidi wa burudani ulioko Mbagala jijini Dar es Salaam.
Mamia ya watu waliofurika Dar Live wakazuuzika na show ya Jahazi huku
waimbaji Prince Amigo na Mishi Mohamed waking’ara zaidi.
waimbaji Prince Amigo na Mishi Mohamed waking’ara zaidi.
Amigo na Mishi kila mmoja kwa wakati wake, alifanikiwa kukusanya
kijiji kikubwa kwenye ‘dancing floor’ huku pia wakishambulia show za nguvu sambamba na
madansa wa Jahazi.
kijiji kikubwa kwenye ‘dancing floor’ huku pia wakishambulia show za nguvu sambamba na
madansa wa Jahazi.
Pata picha 15 za onyesho hilo la Jahazi ndani ya Dar Live huku pia
ukikumbuka kuwa kundi hilo litakuwa na show maalum Jumapili ya August 28 pale
Travertine katika uzinduzi wa video ya albam nzima ya “Kaning’ang’ania”
ukikumbuka kuwa kundi hilo litakuwa na show maalum Jumapili ya August 28 pale
Travertine katika uzinduzi wa video ya albam nzima ya “Kaning’ang’ania”
Emeraa Soloo
Fatma Mcharuko
Hadija Yussuf
Hadija Yussuf akipagawisha
Hadija Yussuf akiendelea kupagawisha mashabiki wake
Umati wa watu walijazana Dar Live waburudika na Miriam Amour
Mohamed Mauji mkali wa solo gitaa
Miriam Amour
Mishi Mohamed mmoja waimbaji waliotesa sana Dar Live kwenye onyesho la Jahazi
Mamia ya watu waliofurika Dar Live
Amigo (kushoto) akishambulia jukwaa
Nyomi la Jahazi jana ndani ya Dar Live
Prince Amigo jukwaani
Mishi Mohamed
Zubeida Mlamali