KAMA ambavyo Saluti5 iliwahi kusema siku za nyuma, Khalid Chokoraa si
wa kawaida linapokuja suala la kuwahi kazini.
wa kawaida linapokuja suala la kuwahi kazini.
Jamaa hanaga ustaa, mapema sana alikuwa ndani ya Mango Garden na
ilipotimu saa 3:30 usiku akapanda jukwaani na kuanza kungurumisha burudani akiwa
mwimbaji pekee stejini.
ilipotimu saa 3:30 usiku akapanda jukwaani na kuanza kungurumisha burudani akiwa
mwimbaji pekee stejini.
Alifanya hivyo hadi saa 4:20 kabla hawajapanda waimbaji wengine
kuendeleza program ya onyesho hilo linaloendelea usiku huu ndani ya Mango
Garden.
kuendeleza program ya onyesho hilo linaloendelea usiku huu ndani ya Mango
Garden.
Pata picha 7 saba.
Khalid Chokoraa jukwaani Mango Garden
Khalid Chokoraa
Hosea akipiga gitaa la bass kwa mbwembwe
Kanuti kwenye mpini wa solo
James Kibosho akizigonga drum
Victor Nkambi kwenye kinanda