WEMA Sepetu amefunguka na
kusema kuwa katika maisha yake huwa hapendi watu wanafiki kwa
madai kuwa watu wa aina hiyo ni hatari kwa maendeleo yake.
kusema kuwa katika maisha yake huwa hapendi watu wanafiki kwa
madai kuwa watu wa aina hiyo ni hatari kwa maendeleo yake.
Wema alisema hayo alipokuwa
akizungumzia changamoto alizozipitia ambazo amekuwa akikutana nazo tangu
awe maarufu na kudai kwamba sasa amechoka kuzushiwa mambo ya kinafiki.
akizungumzia changamoto alizozipitia ambazo amekuwa akikutana nazo tangu
awe maarufu na kudai kwamba sasa amechoka kuzushiwa mambo ya kinafiki.
Alisema kuwa watu wamekuwa
wakiunda makundi yao kwenye mitandao ya kijamii na kisha wanayapa majina ya “Team Wema” bila yeye kujua na kumsababishia usumbufu.
wakiunda makundi yao kwenye mitandao ya kijamii na kisha wanayapa majina ya “Team Wema” bila yeye kujua na kumsababishia usumbufu.
Kimwana huyo anajua kuna watu
wanampenda na anashukuru kwa sapoti yao, lakini si kwamba yeye ndiye aliyeunda Team Wema, hivyo anawashangaa
wanaompigia simu na kumuomba awaunganishe kwenye “Team Wema.”
wanampenda na anashukuru kwa sapoti yao, lakini si kwamba yeye ndiye aliyeunda Team Wema, hivyo anawashangaa
wanaompigia simu na kumuomba awaunganishe kwenye “Team Wema.”