MENEJA wa msanii wa Bongofleva
nchini, Ali Kiba, Aidan Charlie ameibuka
na kudai kuwa sababu iliyosababisha msanii huyo kushindwa ku-perform kwenye
tamasha la Mombasa Rocks Festival ni kutokana na muda kushindwa kuwa rafiki.
nchini, Ali Kiba, Aidan Charlie ameibuka
na kudai kuwa sababu iliyosababisha msanii huyo kushindwa ku-perform kwenye
tamasha la Mombasa Rocks Festival ni kutokana na muda kushindwa kuwa rafiki.
Meneja huyo alieleza kuwa shoo hiyo
ilitakiwa ianze mchana lakini ilianza muda ambao ilisababisha shoo hiyo
kushindwa kumalizika kwa wakati.
ilitakiwa ianze mchana lakini ilianza muda ambao ilisababisha shoo hiyo
kushindwa kumalizika kwa wakati.
“Ishu kubwa iliyokuwepo ni muda,
shoo ilitakiwa kuanza saa nane mchana na kumalizika usiku kama saa sita, lakini
kutokana na wenyewe waandaji walivyojipanga mambo hayakwenda kama
walivyokusudia, kwahiyo badala ya kuanza shoo saa nane ikaanza saa tatu usiku.”
shoo ilitakiwa kuanza saa nane mchana na kumalizika usiku kama saa sita, lakini
kutokana na wenyewe waandaji walivyojipanga mambo hayakwenda kama
walivyokusudia, kwahiyo badala ya kuanza shoo saa nane ikaanza saa tatu usiku.”
“Lakini shoo ilipoanza walitumbuiza
Navio, Vanessa hata Naziz akaondolewa,” alisema meneja Aidan.
Navio, Vanessa hata Naziz akaondolewa,” alisema meneja Aidan.