BEKI wa kimataifa wa Serbia,
Branislav Ivanovic, 32, anaweza kuwa mchezaji wa kwanza kuuzwa na Antonio Conte
katika dirisha dogo la usajili.
Branislav Ivanovic, 32, anaweza kuwa mchezaji wa kwanza kuuzwa na Antonio Conte
katika dirisha dogo la usajili.
Conte yuko kwenye mipango ya
kuimarisha safu yake ya ulinzi inayoonekana kuchoka na kuruhusu mabao mengi ya
kizembe msimu huu.
kuimarisha safu yake ya ulinzi inayoonekana kuchoka na kuruhusu mabao mengi ya
kizembe msimu huu.