
BARCELONA ni maji ya shingo kwa Manchester City. Miamba hiyo ya
Hispania imeibuka na ushindi mnono wa bao 4-0 dhidi ya kocha wao zamani Pep
Guardiola.
Hispania imeibuka na ushindi mnono wa bao 4-0 dhidi ya kocha wao zamani Pep
Guardiola.
Katika mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa uliochezwa Camp Nou, hadi
mapumziko Barcelona walikuwa mbele 1-0 kwa bao la Lionel Messi aliyevunga
dakika ya 17.
mapumziko Barcelona walikuwa mbele 1-0 kwa bao la Lionel Messi aliyevunga
dakika ya 17.
Kipa wa Manchester City Claudio Bravo aliyesajiliwa kutoka Barcelona, alilambwa kadi nyekundu dakika ya 40 baada ya kuushika
mpira nje ya eneo lake.
mpira nje ya eneo lake.
Barcelona nao walijikuta wakiwa pungufu dakika ya 73 baada ya Jeremy Mathieu kuzawadiwa kadi nyekundu, lakini wakati huo tayari walikuwa mbele kwa magoli
3-0 kufuatia Messi kufunga tena dakika ya 61 na 69 kabla Neymar hajatupia bao la
nne dakika ya 89.
3-0 kufuatia Messi kufunga tena dakika ya 61 na 69 kabla Neymar hajatupia bao la
nne dakika ya 89.
Barcelona: ter Stegen, Mascherano, Pique, Umtiti, Jordi Alba, Rakitic, Busquets, Iniesta, Luis Suarez, Messi, Neymar.
Man City: Bravo, Zabaleta, Otamendi, Stones, Kolarov, Gundogan, Fernandinho, Silva, Sterling, De Bruyne, Nolito.