BINGWA wa ndondi katika uzani
mzito duniani, Tyson Fury amesema kuwa amejiluzulu mchezo huo katika ujumbe
uliochapishwa katika mtandao wa Twitter.
mzito duniani, Tyson Fury amesema kuwa amejiluzulu mchezo huo katika ujumbe
uliochapishwa katika mtandao wa Twitter.
Raia huyo wa Uingereza mwenye
umri wa miaka 28 alijiondoa katika pigano la marudio dhidi ya raia wa Ukrain, Wladmir Klitschko lililopangwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu kutokana na masuala
ya kiafya.
umri wa miaka 28 alijiondoa katika pigano la marudio dhidi ya raia wa Ukrain, Wladmir Klitschko lililopangwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu kutokana na masuala
ya kiafya.
Fury ambaye anamiliki mataji ya
WBA na WBO, anakabiliwa na kesi mnamo mwezi Novemba inayohusisha madai ya
utumiaji wa madawa ya kusisimua misuli.
WBA na WBO, anakabiliwa na kesi mnamo mwezi Novemba inayohusisha madai ya
utumiaji wa madawa ya kusisimua misuli.
“Ndondi ni kitu kibaya zaidi
nilichoshiriki,” alisema kupitia mtandao wake wa Twitter akiongezea: “Mimi ndiye
bingwa na aliyestaafu.”
nilichoshiriki,” alisema kupitia mtandao wake wa Twitter akiongezea: “Mimi ndiye
bingwa na aliyestaafu.”
Fury alitarajiwa kupata kitita
kikubwa tangu alipojiunga na ndondi wakati wa pigano lake la pili dhidi ya Klitschko
katika uwanja wa Manchester mwezi huu.
kikubwa tangu alipojiunga na ndondi wakati wa pigano lake la pili dhidi ya Klitschko
katika uwanja wa Manchester mwezi huu.
Amepewa siku kumi 10 na
shirikisho la ndundi WBO kutoa maelezo na kuahirishwa kwa pambano lake hilo la
marudio kwa mara ya pili.
shirikisho la ndundi WBO kutoa maelezo na kuahirishwa kwa pambano lake hilo la
marudio kwa mara ya pili.