RAPA mahiri
Wiz Khalifa aliarifiwa kifo cha dada yake, Dorien Thomaz “Lala” Jumatatu wiki
hii akiwa katikati ya sherehe.
Wiz Khalifa aliarifiwa kifo cha dada yake, Dorien Thomaz “Lala” Jumatatu wiki
hii akiwa katikati ya sherehe.
Rapa huyo
alikuwa katika pati ya kukata na shoka na marafiki zake pamoja na mtalaka wake,
Amber Rose alipopata taarifa za kifo cha dada yake Lala.
alikuwa katika pati ya kukata na shoka na marafiki zake pamoja na mtalaka wake,
Amber Rose alipopata taarifa za kifo cha dada yake Lala.
Mkali huyo
wa kibao “Black And Yellow”, alisema baadae kuwa alikuwa akisherehekea siku ya
kuzaliwa kwa mwanae, Sebastian aliyetimiza miaka mine.
wa kibao “Black And Yellow”, alisema baadae kuwa alikuwa akisherehekea siku ya
kuzaliwa kwa mwanae, Sebastian aliyetimiza miaka mine.