MLINDA mlango,
Gianluigi Buffon anaonekana kutishwa na usajili msimu huu, baada ya kusema
kwamba itakuwa ni vigumu kwa Juventus kutetea ubingwa wake wa Serie
A, baada ya mahasimu wao nchini Italia timu za AC Milan, Roma, Inter
na Napoli kusuka vikosi vyake.
Gianluigi Buffon anaonekana kutishwa na usajili msimu huu, baada ya kusema
kwamba itakuwa ni vigumu kwa Juventus kutetea ubingwa wake wa Serie
A, baada ya mahasimu wao nchini Italia timu za AC Milan, Roma, Inter
na Napoli kusuka vikosi vyake.
Msimu ujao
Juventus itakuwa ikisaka kutwaa taji hilo kwa mara ya saba mfululizo, lakini
inaonekna itakutana na vikwazo kutoka kwa timu za Milan, Roma,
Inter na Napoli tofauti na misimu iliyopita.
Juventus itakuwa ikisaka kutwaa taji hilo kwa mara ya saba mfululizo, lakini
inaonekna itakutana na vikwazo kutoka kwa timu za Milan, Roma,
Inter na Napoli tofauti na misimu iliyopita.
Msimu huu AC
Milan inaonekna itakuwa tofauti kuliko Juventus kwa kuwa itakuwa
na mastaa kama vile, Leonardo Bonucci na huku ikiwa imewasajili, Lucas
Biglia, Andre Silva, Hakan Calhanoglu, Andrea Conti, Ricardo Rodriguez, Mateo
Musacchio, Franck Kessie na Fabio Borini.
Milan inaonekna itakuwa tofauti kuliko Juventus kwa kuwa itakuwa
na mastaa kama vile, Leonardo Bonucci na huku ikiwa imewasajili, Lucas
Biglia, Andre Silva, Hakan Calhanoglu, Andrea Conti, Ricardo Rodriguez, Mateo
Musacchio, Franck Kessie na Fabio Borini.
Huku pia nyota
Rick Karsdorp, Cengiz Under, Aleksandar Kolarov, Maxime Gonalons, Lorenzo Pellegrini
na Hector Moreno wakiwa wamejiunga na AS Roma, Inter
wao watakuwa na mastaa kama Borja Valero na Milan Skriniar,
wakati Napoli wakiwa wamewarejesha nyota kadhaa baada ya msimu uliopita
kushika nafasi ya tatu.
Rick Karsdorp, Cengiz Under, Aleksandar Kolarov, Maxime Gonalons, Lorenzo Pellegrini
na Hector Moreno wakiwa wamejiunga na AS Roma, Inter
wao watakuwa na mastaa kama Borja Valero na Milan Skriniar,
wakati Napoli wakiwa wamewarejesha nyota kadhaa baada ya msimu uliopita
kushika nafasi ya tatu.
Akizungumza juzi
mara baada ya mchezo ambao Juve waliibuka na ushindi kwa mikwaju ya penalti
dhidi ya AS Roma katika michuano ya Kombe la Mabingwa wa Kimataifa,
nahodha huyo alisema:
mara baada ya mchezo ambao Juve waliibuka na ushindi kwa mikwaju ya penalti
dhidi ya AS Roma katika michuano ya Kombe la Mabingwa wa Kimataifa,
nahodha huyo alisema:
“Imekuwa ni
ziara nzuri na muhimu nchini Marekani kwa ajili ya kujipanga na msimu ujao.”
ziara nzuri na muhimu nchini Marekani kwa ajili ya kujipanga na msimu ujao.”
“Lakini
huu utakuwa ni msimu mgumu kwa Juventus kwa sababu timu nyingi zimesuka
vikosi vyake kama vile, AS Roma, Inter na Milan wakati Napoli
wamebaki na nyota wake,”aliongeza staa huyo.
huu utakuwa ni msimu mgumu kwa Juventus kwa sababu timu nyingi zimesuka
vikosi vyake kama vile, AS Roma, Inter na Milan wakati Napoli
wamebaki na nyota wake,”aliongeza staa huyo.