ATHUMANI Idd “Chuji” amerejea Ligi Kuu bara baada ya kujiunga na
Ndanda FC ya Mtwara.
Ndanda FC ya Mtwara.
Chuji amerejea kwa kusaini mkataba wa mweaka mmoja kuichezea
Ndanda ambayo msimu uloipita ilifanya kazi ya ziada kubaki Ligi Kuu Bara.
Ndanda ambayo msimu uloipita ilifanya kazi ya ziada kubaki Ligi Kuu Bara.
Kiungo huyo wa zamani wa Yanga alipotea baada ya kuachwa na
Yanga misimu mitano iliyopita.
Yanga misimu mitano iliyopita.
Juhudi zake za kutaka kurejea Ligi Kuu Bara zilionyesha kutokuwa
na mafanikio hata alipojiunga na Mwadui FC ya Shinyanga ambayo licha ya kukaa
misimu miwili, hakupata nafasi ya kucheza.
na mafanikio hata alipojiunga na Mwadui FC ya Shinyanga ambayo licha ya kukaa
misimu miwili, hakupata nafasi ya kucheza.
Baada ya hapo Chuji aliamua kijiweka kando mwa Ligi hiyo na hivi
karibuni alii buka na kufanya vizuri katika michuano ya Ndondo FC.
karibuni alii buka na kufanya vizuri katika michuano ya Ndondo FC.