Wakati Christian Bella amekuwa akionekana ni mtu mwenye kujitenga na
muziki wa dansi, mwanamuziki huyo ameongea kauli nzito kuhusu muziki wa dansi
hususan tamasha lililopewa jina la Tanzania Band Festival.
muziki wa dansi, mwanamuziki huyo ameongea kauli nzito kuhusu muziki wa dansi
hususan tamasha lililopewa jina la Tanzania Band Festival.
Akiongea na Saluti5, Bella amesema wazo la Tanzania Band Festival
linastahili kuungwa mkono kwa vile ndio njia sahihi ya kuinua tena muziki wa
dansi.
linastahili kuungwa mkono kwa vile ndio njia sahihi ya kuinua tena muziki wa
dansi.
Mwimbaji huyo amedai kama tamasha hilo litaheshimiwa na kuungwa mkono ipasavyo, basi yatapatikana
matunda mazuri kwenye muziki wa dansi.
matunda mazuri kwenye muziki wa dansi.
Bella na bendi yake ya Malaika ni miongoni mwa washiriki wa Tanzania
Band Festival ambayo inafanyika kwa mwaka wa pili mfululizo.
Band Festival ambayo inafanyika kwa mwaka wa pili mfululizo.
“Hatujawahi kuwa na tamasha la bendi,
hii ni kama Fiesta ya live band, Q Plus Entertainment na watu wake wanastahili
kupongezwa kwa kuanzisha hii kitu,” alisema Bella.
hii ni kama Fiesta ya live band, Q Plus Entertainment na watu wake wanastahili
kupongezwa kwa kuanzisha hii kitu,” alisema Bella.
“Kuna weza kuwepo na mapungufu madogo madogo, kuna vitu vya kujifunza.
Kama mwakani wakifanya tena hivi wakatapata na wadhamini zaidi, wakongeza mikoa
mingine, basi itakuwa kitu kikubwa sana.
Kama mwakani wakifanya tena hivi wakatapata na wadhamini zaidi, wakongeza mikoa
mingine, basi itakuwa kitu kikubwa sana.
“Ni kitu kizuri, inawaweka wasanii karibu. Tukizingatia na tukiwa na
heshima, tukiwa na plan nzuri basi tutapata matunda mazuri,” aliongeza Bella.
heshima, tukiwa na plan nzuri basi tutapata matunda mazuri,” aliongeza Bella.