KAMA unadhani mrembo Kim
Kardashian anaweza kuachana na mume wake, Kanye West, unajidanganya na
utasubiri sana kwani ripoti zilizopo ni kwamba jamaa amekuwa akimdatisha mpenzi
wake kwa kumpa mambo mapya na matamu kila uchao.
Kardashian anaweza kuachana na mume wake, Kanye West, unajidanganya na
utasubiri sana kwani ripoti zilizopo ni kwamba jamaa amekuwa akimdatisha mpenzi
wake kwa kumpa mambo mapya na matamu kila uchao.
Taarifa za ndani zinadai kuwa
rapa Kanye West amekuwa akikagua vipodozi na sabuni anazotumia Kim ili asiweze
kupata madhara na kuathiri ngozi yake.
rapa Kanye West amekuwa akikagua vipodozi na sabuni anazotumia Kim ili asiweze
kupata madhara na kuathiri ngozi yake.
Mwaka jana Kanye West aliposti
picha mtandaoni akionekana anamvisha viatu Kim na picha hiyo ilisambaa na kuwa
gumzo kila pembe ya dunia.
picha mtandaoni akionekana anamvisha viatu Kim na picha hiyo ilisambaa na kuwa
gumzo kila pembe ya dunia.
Kanye amedaiwa kuwa kwenye hali
ya unyenyekevu anapokuwa na Kim na hiyo imetajwa kama silaha asiweze
kumponyoka.
ya unyenyekevu anapokuwa na Kim na hiyo imetajwa kama silaha asiweze
kumponyoka.