MSHAMBULIAJI wa timu ya
Besiktas, Cenk Tosun anawindwa na Crystal Palace ambayo inasaka suluhu ya
kuboresha safu yake butu ya ushambuliaji.
Besiktas, Cenk Tosun anawindwa na Crystal Palace ambayo inasaka suluhu ya
kuboresha safu yake butu ya ushambuliaji.
Cent Tosun mwenye miaka 26, anatajwa kuwa na thamani ya Euro mil 25, lakini Palace wapo tayari kutoa Euro
mil 22.45.
mil 22.45.
Palace imekuwa na mwenendo
mbovu kwenye Ligi Kuu ya England huku ikiwa inaruhusu idadi kubwa ya mabao
katika mechi zake.
mbovu kwenye Ligi Kuu ya England huku ikiwa inaruhusu idadi kubwa ya mabao
katika mechi zake.