KLABU ya Tottenham inajiandaa
kukamilisha usajili wa kinda wa timu ya Ajax, Justin Kluivert ambaye ni mtoto wa staa wa zamani wa timu ya Barcelona
Patrick kluivert.
kukamilisha usajili wa kinda wa timu ya Ajax, Justin Kluivert ambaye ni mtoto wa staa wa zamani wa timu ya Barcelona
Patrick kluivert.
Spurs pia wanatazama uwezekano
wa kumnasa kinda mwingine, Donny van de Beek mwenye miaka 20.
wa kumnasa kinda mwingine, Donny van de Beek mwenye miaka 20.
Klabu hiyo inajiandaa kuishi
bila mshambuliaji wake harry Kane anayetajwa kutaka kujiunga na real Madrid
mwishoni mwa msimu huu.
bila mshambuliaji wake harry Kane anayetajwa kutaka kujiunga na real Madrid
mwishoni mwa msimu huu.