Mtoto
wa kiume wa mwanamuziki nyota wa dansi, Ally Chocky, amejitosa kwenye muziki
ambapo mara kadhaa amekuwa akionekana kwenye majukwaa mbali mbali likiwemo la
Mapacha Watatu Original.
wa kiume wa mwanamuziki nyota wa dansi, Ally Chocky, amejitosa kwenye muziki
ambapo mara kadhaa amekuwa akionekana kwenye majukwaa mbali mbali likiwemo la
Mapacha Watatu Original.
Mwezi
uliopita Khalid Chokoraa alimpandisha jukwaani mtoto huyo wa Ally Chocky
anayejiita Chocky Junior na kusema bendi yake ya Mapacha Watatu itakuwa
ikimtumia kwenye baadhi ya maonyesho yake.
uliopita Khalid Chokoraa alimpandisha jukwaani mtoto huyo wa Ally Chocky
anayejiita Chocky Junior na kusema bendi yake ya Mapacha Watatu itakuwa
ikimtumia kwenye baadhi ya maonyesho yake.
Katika
onyesho hilo la Mapacha Watatu lililofanyika Brazil Pub, Tegeta, mtoto huyo wa
Chocky aliwavutia wengi kwa uimbaji wake ingawa alionekana kuegemea zaidi
muziki wa bongo fleva.
onyesho hilo la Mapacha Watatu lililofanyika Brazil Pub, Tegeta, mtoto huyo wa
Chocky aliwavutia wengi kwa uimbaji wake ingawa alionekana kuegemea zaidi
muziki wa bongo fleva.
Chocky Junior (kulia) akiwa na Chokoraa kwenye jukwaa la Mapacha Watatu