MARINGO “mzee wa Morogoro” ni kati ya mashabiki wa muziki wa
dansi aliyekiri kuwa pamoja na mvua kubwa iliyokung’uta Jumamosi hii, lakini
alilazimika kutoka Mji Kasoro Bahari hadi jijini Dar es Salaam kufuata burudani
ya Msondo Ngoma.
dansi aliyekiri kuwa pamoja na mvua kubwa iliyokung’uta Jumamosi hii, lakini
alilazimika kutoka Mji Kasoro Bahari hadi jijini Dar es Salaam kufuata burudani
ya Msondo Ngoma.
Akiongea na Saluti5, mzee wa Morogoro amesema kwamba amekuwa
akifanya hivyo mara kwa mara kutokana na mapenzi aliyonayo kwa bendi hiyo
inayokusanya wanamuziki wengi wenye uwezo mkubwa jukwaani.
akifanya hivyo mara kwa mara kutokana na mapenzi aliyonayo kwa bendi hiyo
inayokusanya wanamuziki wengi wenye uwezo mkubwa jukwaani.
“Mara nyingi huwa nakuja Dar es Salaam kila wikiendi ninapopata
nafasi ili kuburudika na Msondo Ngoma na kama ulivyoona, ninapofika lazima
niingie kati kucheza sambamba na wana Msondo Family,” amesema shabiki huyo.
nafasi ili kuburudika na Msondo Ngoma na kama ulivyoona, ninapofika lazima
niingie kati kucheza sambamba na wana Msondo Family,” amesema shabiki huyo.