KATIKA kile kinachoonekana kuwa ni kama baadhi
ya waliokuwa wasanii Jahazi Modern Taarab wameanza kuimiss bendi yao hiyo, mcharazaji
mahiri wa gitaa la Solo, Mohammed Mauji “Father Mauji” ameposti maneno mazito
kwenye ukurasa wake wa facebook akikumbuka wakati walipokuwa kwenye ubora wao.
ya waliokuwa wasanii Jahazi Modern Taarab wameanza kuimiss bendi yao hiyo, mcharazaji
mahiri wa gitaa la Solo, Mohammed Mauji “Father Mauji” ameposti maneno mazito
kwenye ukurasa wake wa facebook akikumbuka wakati walipokuwa kwenye ubora wao.
Katika posti hiyo iliyoambatana na picha ya
jukwaani ambayo Father Mauji amepiga na Prince Amigo na aliyekuwa mmoja wa mabaunsa
wa bendi hiyo, Hassan Ndevu, mkali huyo wa masebene ameandika:
jukwaani ambayo Father Mauji amepiga na Prince Amigo na aliyekuwa mmoja wa mabaunsa
wa bendi hiyo, Hassan Ndevu, mkali huyo wa masebene ameandika:
“Dah enzi hizo Jahazi
Modern Taarab imetimia kazi kazi, dairekta mwenyewe Father
Mauji, safu ya waimbaj wa kike Khadija Yusuph, Malkia
Leyla Rashid Fatma Mcharuko, Fatma Shobo, Mwansit Robert, Miriam Amour,
Rahma Machupa, Mwasiti Kitoronto, Fatma Khasim, Mishi
Zele, waimbaji wa kiume ikiongozwa na mwenyewe nguli nadhani mnamjua jina
nalihifadhi akifatiwa na Prince Amigo huku Mohamed Ally Mtoto Pori.”
Modern Taarab imetimia kazi kazi, dairekta mwenyewe Father
Mauji, safu ya waimbaj wa kike Khadija Yusuph, Malkia
Leyla Rashid Fatma Mcharuko, Fatma Shobo, Mwansit Robert, Miriam Amour,
Rahma Machupa, Mwasiti Kitoronto, Fatma Khasim, Mishi
Zele, waimbaji wa kiume ikiongozwa na mwenyewe nguli nadhani mnamjua jina
nalihifadhi akifatiwa na Prince Amigo huku Mohamed Ally Mtoto Pori.”
“Wapiga vyombo Father
Mauji, Mussa Mipango, Chidy Boy, Babu Ally “Kichupa”, Mussa Besi “Baba Warda”, Mgeni
Kisoda, wakurugenzi,
mkuu
mwenyewe anafata Khamis Boha, Seif Magwalu, Awadh Khasim fundi mitambo Toll Slim,
Abuu Mapera
wabeba
vyombo Hassan Ndevu, Abiola Kawambwa, Hassan Baunsa na wengine
kibao, kwakweli hii haiwezi kujirudia tena ulikuwa balaa hawezi mtu kuja kuomba
kazi kijingajinga lazima ujupange,” akaongeza.
Mauji, Mussa Mipango, Chidy Boy, Babu Ally “Kichupa”, Mussa Besi “Baba Warda”, Mgeni
Kisoda, wakurugenzi,
mkuu
mwenyewe anafata Khamis Boha, Seif Magwalu, Awadh Khasim fundi mitambo Toll Slim,
Abuu Mapera
wabeba
vyombo Hassan Ndevu, Abiola Kawambwa, Hassan Baunsa na wengine
kibao, kwakweli hii haiwezi kujirudia tena ulikuwa balaa hawezi mtu kuja kuomba
kazi kijingajinga lazima ujupange,” akaongeza.